Of late, Bongo sensation, Diamond, has been receiving a lot of criticism and threats from his fellow Tanzanian artists.
According to the renowned singer, some jealous
artists have been spreading rumours to soil his name so as to take up the
mantle from him.
However, the Nataka
Kulewa hit maker claims that he won’t be cowed by the useless threats by
the noise makers who have nothing new to offer.
Here is what he posted on his official facebook
page;
kiukweli,
nasikitishwa sana jins baadhi ya wasanii kutwa wanavyolazimisha kunitengenezea
ugomvi wa kilazima pasipo kuwa na sababu, mara wengine wakizusha eti Nimewatusi
kwenye Media, Mara sjui Nimepost kuwakashif, yaani ilimradi tu....kwanini
Wanamuziki wa Tanzania Tunashindwa kubadilika... mbona mi nahangaika na muziki
wangu kimpango wangu... Mnasema nyie ndio mnaojua kuimba mie sijui
"sinatatizo"... Mnasema nyie ndio wenye sauti nzuri yangu mbaya
"Sina tatizo"... sasa mbona tena bado mnanifatilia na kutokujua
kwangu... Nafkiri ni vyema mkaanza kutumia ujuzi wenu kukuza sanaa ya nchi yetu
na kuleta heshima na maendeleo nchini, kuliko kupika majungu..... Watu wanataka
kazi!
No comments:
Post a Comment